Ingia / Jisajili

Upokelewe Mbinguni

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Mazishi

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 2,570 | Umetazamwa mara 6,296

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

UPOKELEWE MBINGUNI

Upokelewe ( ndugu)  Mbi-nguni  (Kwa Baba)Kwa Mungu (Uishi) Uishi naye milele. x2

1.(a)Si si wanadamu  tuna si ku mbili (muhimu), Kuzaliwa na  kufa kwetu Duniani.
   (b)Kuzaliwa kwetu  kunafurahisha  (jamaa) , La kini  kufa kwetu kunasikiti sha.


2.(a)Lakini - ndugu tukumbuke kuwa (pekee) , Hii ndiyo njia ya kwenda kwake  Baba.
  (b)Jamaa na  Ndugu  tuwe na  I mani (ya ku  wa), Ndugu yetu  ameitwa nayeye Mungu.


3.(a)Ndugu na jamaa  mliopo hapa (twaomba), Tumwombee tumwombee ndugu-  yetu. 
  (b) Asa me - hewe na ku o ndo le wa (kabisa), Dhambi zake na Mungu a m po - ke   e


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa