Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
                     
 > Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds                      
 > Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds                 
Makundi Nyimbo: Mazishi
Umepakiwa na: Frt.John Nsenye
Umepakuliwa mara 3,213 | Umetazamwa mara 7,503
Download Nota Download MidiUPOKELEWE MBINGUNI
Upokelewe ( ndugu) Mbi-nguni (Kwa Baba)Kwa Mungu (Uishi) Uishi naye milele. x2
	1.(a)Si si wanadamu  tuna si ku mbili (muhimu), Kuzaliwa na  kufa kwetu Duniani.
	   (b)Kuzaliwa kwetu  kunafurahisha  (jamaa) , La kini  kufa kwetu kunasikiti sha.
	
	2.(a)Lakini - ndugu tukumbuke kuwa (pekee) , Hii ndiyo njia ya kwenda kwake  Baba.
	  (b)Jamaa na  Ndugu  tuwe na  I mani (ya ku  wa), Ndugu yetu  ameitwa nayeye Mungu.
	
	3.(a)Ndugu na jamaa  mliopo hapa (twaomba), Tumwombee tumwombee ndugu-  yetu. 
	  (b) Asa me - hewe na ku o ndo le wa (kabisa), Dhambi zake na Mungu a m po - ke   e