Ingia / Jisajili

Bwana ni Mfalme

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Kristu Mfalme

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 571 | Umetazamwa mara 2,468

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

          Bwana ni Mfalmle, Bwa-na ni Mfalme ameji-vika ta-ji X2

1. Bwana ametamalaki amejivika adhama, Bwana amejivika na kujikaza nguvu.

2. Naan u-li-mwengu umethibitika usitikisike, kiti chako kimekuwa thabiti tokea zamani, wewe ndiwe uliye ta-ngu milele.

3. Shuhuda zako ni ami-ni sana, utakatifu ndio uifaao nyumba yako, Ee Bwana milele na milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa