Ingia / Jisajili

Ni Furaha Gani

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 616 | Umetazamwa mara 3,336

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ni furaha gani nasikia kujongea mbele ya meza yako ukarimu wako ni wa milele ni ungane nawe daima

Tukale mwili wako tukanywe damu yako tuishi nawe Bwana milele yote ahe x2

1.       Niponye Bwana leo na majeraha ya moyo wangu unitakase Bwana dhambi zangu za moyoni

2.       Ni na ta ma ni Bwana nikae nawe milele yote, ukae kwangu Bwana katika maisha yangu.

3.       Nilishe Bwana leo chakula hiki cha roho yangu, nipate nguvu niimarike kwa mwili wako.

4.       Ninyweshe Bwana leo kinywaji hiki cha roho yangu, nipate nguvu niimarike kwa damu yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa