Ingia / Jisajili

Ukarimu Wa Bwana (Ni Nani Kati Ya Watawala Wote)

Mtunzi: Stanslaus Mujwahuki
> Tazama Nyimbo nyingine za Stanslaus Mujwahuki

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Gervas Kombo

Umepakuliwa mara 14,271 | Umetazamwa mara 22,853

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1.       Nani kati ya watawala wote wa falme wa dunia hii aliyewahi kuandaa karamu akaalika watu wote

KIITIKIO

Ni nani kama Bwana Yesu mfalme wa mbingu na nchi anayetualika sote kwenye karamu aliyoiandaa bali tuwe na moyo safi x2

2.       Sote tunaalikwa kushiriki kwenye karamu yake Bwana,

 tukiwa tajiri au masikini bali tuwe na moyo safi.

3.        Ishara ya mapendo makubwa kwetu kutoka kwake Bwana Yesu;

 kutoa mwili kutoa damu yake kuzishibisha Roho zetu

4.       Ni fundisho kutoka kwake- Bwana tuonye-she ukarimu

 kwa ndugu rafiki au majirani daima maishani mwetu


Maoni - Toa Maoni

Susan Feb 12, 2023
Wimbo mtamu saaana

grace kihanga Jun 21, 2017
Pongez naipenda sana hiyo nyimbo,kwaya gani imeimba

Sr. Juliana Kimanzi Jun 27, 2016
where can i get your CD of the song

Toa Maoni yako hapa