Ingia / Jisajili

Baba tunaleta vipaji

Mtunzi: John Kimaro
> Mfahamu Zaidi John Kimaro
> Tazama Nyimbo nyingine za John Kimaro

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: John Emanueli

Umepakuliwa mara 1,417 | Umetazamwa mara 3,775

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Baba tunaleta vipaji(vyetu) tunaomba uvipokee tunavileta mezani kwako twakuomba uvipokee, pia tunaleta na fedha(zetu) tunaomba uvipokee nimapato ya kazi zetu twakuomba uvipokee,. Tunaleta mkate divai twakuomba upokee. Tunaleta na Sala zetu twakuomba uvipokee. SHAIRI;.1.(a) mazao ya mashambani tunaleta kwako,. (b) mkate na divai tunaleta kwako,. (c) upokee bwana Kama shukrani. (d) vyote vyatoka kwako bwana upokee. 2,(a) Mali tulizonazo zinatoka kwako. (b) tunazileta kwako baba upokee. (c)tumezipata kwako baba upokee. (d) wewe ndiwe mpaji baba upokee. 3,(a) tunaleta na Sala zetu upokee. (b) pia na shukrani zetu upokee. (c) tunakushukuru baba tunasema asante. (d) milele na milele tunasema asante.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa