Ingia / Jisajili

Biblia Takatifu

Mtunzi: Félix Fémka
> Mfahamu Zaidi Félix Fémka
> Tazama Nyimbo nyingine za Félix Fémka

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Félix Femka

Umepakuliwa mara 828 | Umetazamwa mara 3,026

Download Nota
Maneno ya wimbo

Nitakijulisha kitabu changu kinachoniongoza kwenye uzima [kinaitwa bibilia bibilia takatifu kinajaa maneno ya Mungu] 2X

1. kwa akili aliyonipa muumba nitavitaja vitabu ginsi vinavyojipanga ndani ya bibilia takatifu: Mwanzo, Kutoka, walawi, Hesabu? Ukumbusho, Yoshua, Waamuzi, Rutu, Samweli, Wafalme nayo Mambo ya kale;

2. Ezra, Neemia, Tobiti, Yuditi, Esteri, Wamakabeo, Yobu, Zaburi, Mifano, Mhubiri na Wima bora

Hekima, Busara ya Sira, Yesaya, Yeremie na pia Maombolezo, Baruku, Ezekieli, Danieli, Hosea;

3. Yoeli, Amosi, Obadia, Yona, Mika, Naumu, Habakuki, Sefania, Hagai, Zekaria, Malaki agano la kale.

Mateo, Marko, Luka na Yoane ni vitabu vya injili vinavyoeleza maisha na mafundisho ya Yesu Kristu.

4. Matendo, Waroma, Wakorinto, Wagalatia na Waefeso, Wafilipi, Wakolose, Watesalonike na Timoteo

Tito, Filemoni, Waebrania, Yakobo, Petro na Yoane, Yuda, Ufunuo ndio vitabu vya bibilia yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa