Ingia / Jisajili

Bwana Alitutendea Mambo Makuu

Mtunzi: Emanuel Chisunga Kasebe
> Mfahamu Zaidi Emanuel Chisunga Kasebe

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Majilio

Umepakiwa na: Emanuel Kasebe

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 8

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 5 ya Kwaresma Mwaka C
- Katikati Dominika ya 2 ya Majilio Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Bwana alitutendea mambo makuu, tulikuwa tukifurahi tukifurahi.

1.Bwana alipowarejeza mateka wa sayuni, tulikuwa kama waotao waotao ndoto,Ndipo kinywa chetu kilipo jaa kicheko na ulimi wetu kelele kelele za furaha.

2. Ndipo waliposema katika mataifa, Bwana amewatendea mambo mambo makuu, Bwana alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi tukifurahi.

3. Ee Bwana uwarejeze watu wetu waliofungwa, kama vijito vijito vya kusini. Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele, watavuna kwa kelele kelele za furaha.

4. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu mbegu za kupanda, hakika atarudi kwa kelele za furaha, Azichukuapo miganda yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa