Ingia / Jisajili

Uje Bwana Kutuokoa

Mtunzi: Emanuel Chisunga Kasebe
> Mfahamu Zaidi Emanuel Chisunga Kasebe
> Tazama Nyimbo nyingine za Emanuel Chisunga Kasebe

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Emanuel Kasebe

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 3 ya Majilio Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

UJE BWANA KUTUOKOA

Kiitikio

Uje Bwana uje Bwana kutuokoa x2

Uje uje Bwana uje uje Bwana x2 Uje Bwana kutuokoa

Mashairi

1. Huishika kweli milele huwafanyia hukumu walioonewa huwapa wenye njaa chakula, Bwana hufungua waliofungwa.

2. Bwana huwafumbua macho waliopofuka, Bwana huwainua walioinama, Bwana huwapenda wenye haki, Bwana huwahifadhi wageni.

3. Huwategemeza yatima na mjane, Bali njia ya wasio haki huipotosha, Bwana atamiliki milele Mungu wako, Ee Sayuni kizazi hata kizazi.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa