Ingia / Jisajili

Bwana Asema Mawazo Ninayowawazia

Mtunzi: Emanuel Chisunga Kasebe
> Mfahamu Zaidi Emanuel Chisunga Kasebe
> Tazama Nyimbo nyingine za Emanuel Chisunga Kasebe

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Emanuel Kasebe

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 33 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 33 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 33 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Bwana asema, Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani wala si ya mabaya. X2

Mashairi

1. Nanyi mtaniita nami nitawasikiliza nami nitawasikiliza nami nitawasikiliza.

2. Nami nitawarudisha kutoka mahali popote watu wenu waliofungwa watu wenu waliofungwa.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa