Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma.

Mtunzi: Himery Msigwa
> Mfahamu Zaidi Himery Msigwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Himery Msigwa

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,231 | Umetazamwa mara 5,490

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Bwana amejaa huruma na neema haoni hasira  upesi ni mwingi wa fadhili x 2

Mashairi

1.E nafsi yangu umuhimidi Bwana naam vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lako takatifu.

2.E nafsi yangu umuhimidi Bwana wala usizisahau fadhili zake zote.

3.Akusamehe maovu yako yote akuponya na magonjwa yako yote aukomboa uhai wako na kaburi.

4.Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki na hukumu kwa wote wanaoonewa.

5.Akutia taji ya fadhili na neema aushibisha uzee wako ujana wako ukarejezwa kama tai

6.Alimjulisha Musa njia zake wana wa Israeli matendo yake.


Maoni - Toa Maoni

Herman L Makeja Sep 15, 2017
Nina nyimbo yingi nahitaji kuapload. Naomba msaada ili niziweke hewani

Toa Maoni yako hapa