Ingia / Jisajili

Bwana Anakuja Awahukumu Mataifa

Mtunzi: Benny Weisiko John
> Mfahamu Zaidi Benny Weisiko John
> Tazama Nyimbo nyingine za Benny Weisiko John

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Benny Weisiko

Umepakuliwa mara 2,578 | Umetazamwa mara 5,540

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Bwana anakuja, Bwana anakuja Bwana, (Bwana anakuja) Bwana anakuja wahukumu, awahukumu Mataifa, Mataifa kwa haki. X2

Shairi

  1. ?(a) Mwimbieni Bwana zaburi kwa kinubi kwa kinubi na sauti ya zaburi.

             (b) Kwa panda na sauti ya baragumu shangilieni mbele za Mfalme  Mfalme Bwana.

  1. (a) Bahari na ivume na vyote viijazavyo, Ulimwengu nao wanaokaa ndani yake.

             (b) Mito na ipige na ipige makofi, Milima na iimbe kwa furaha mbele za Bwana.

  1. (a) Kwa maana Bwana Bwana anakuja anakuja aihukumu hukumu nchi.

             (b) Atauhukumu Ulimwengu kwa haki na mataifa kwa adili kwa adili.


Maoni - Toa Maoni

samson mlokozi Mar 29, 2018
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Frank Makorom Nov 07, 2016
Nipo UDOM leo naenda kufundisha huo wimbo, kwa kweli nmefarijika kuona wimbo wako

Toa Maoni yako hapa