Maneno ya wimbo
BWANA HARUSI NA BIBI HARUSI HONGERENI SANA KWA KUFUNGA NDOA X2 (1) Pendaneni Ninyi kwa ninyi upendo wenu utawale. Mkifanya hivyo mtampendeza Bwana.(2). Mungu Baba hawalinde Katika maisha ya ndoa.Mtegemeeni Mungu yupo nanyi.(3).Mungu Baba Hawa bariki Bwana nawe Bibi harusi hawalinde Katika shida na magonjwa (4).Mtegemeeni Bwana Mungu wenu. Katika familia yenu na watoto wenu wawe watu wa sala Katika maisha yao.(5) Enyi wapendwa msikubalu shetani hawe kati yenu. sameheaneni mkikwazana Bwana hawe nanyi nyote.
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu