Ingia / Jisajili

Ee Bwana fadhili zako zikae nasi

Mtunzi: Hilali John Sabuhoro
> Mfahamu Zaidi Hilali John Sabuhoro
> Tazama Nyimbo nyingine za Hilali John Sabuhoro

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Halisi Ngalama

Umepakuliwa mara 549 | Umetazamwa mara 1,951

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana fadhili zako zikae nasi kama vile tunavyokungoja weweX2

1. Kwa kuwa neno la bwana lina adili na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu.

2.Huziponya nafsi zao huwaponya na mali zao huwahuisha wakati wa njaa.

3.Hupenda haki hukumu haki hukumu nchi imejaa fadhili fadhili za Bwana Mungu



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa