Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka
Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Mazishi | Mwanzo | Zaburi
Umepakiwa na: Faustini Mganuka
Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 5
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 28 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 28 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 28 Mwaka C
KIITIKIO.
Ee Bwana kama wewe ungehesabu maovu maovu ni nani angesimama,x2
SHAIRI.
1.Lakini kwako Kuna msamaha ili wewe uogopwe nimemngoja Bwana na roho yangu imemngoja na neno lake nimelitumainia.
2. Nafsi yangu inamngoja Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, Naam walinzi wangojavyo asubuhi