Ingia / Jisajili

Chozi Langu

Mtunzi: Valentine Ndege
> Mfahamu Zaidi Valentine Ndege
> Tazama Nyimbo nyingine za Valentine Ndege

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Valentine Ndege

Umepakuliwa mara 430 | Umetazamwa mara 1,900

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Nyoosha mkono wako Bwana unisaidie, maji yamefika shingoni, nimo kilindini nitazama Bwana, Dunia ni nzito Bwana ona yanielemea, mahangaiko kila kukicha, machozi yamekuwa faraja yangu: Hima bwana (njoo) unisaidie, hima Bwana unisaidie x2 1. Misiba nayo magonjwa yasiyokoma, moyo wangu wapondeka maumivu yasiyokoma kila kukicha, fanya hima Bwana unisaidie 2. Ugumu wa maisha kwangu ni kikwazo, marafiki hata ndugu, wanicheka na kunisema kila kukicha, fanya hima Bwana unisaidie. 3. Maadui wamenizingira pande zote, wanawinda roho yangu kwa bidii, ili wapate kuniangamiza, fanya hima Bwana unisaidie

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa