Ingia / Jisajili

Ee Bwana Niamkapo Nitashibishwa Kwa Sura Yako

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee, Bwana niamkapo
nitashibishwa kwa sura yako x2.

1. Ee Bwana, usikie haki, usikilize kilio changu,
Utege sikio lako kwa maombi yangu,
Yasiyotoka katika midomo ya hila.


2. Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako,
Hatua zangu hazikuondoshwa.
Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika,
Utege sikio lako ulisikie neno langu.


3. Unilinde kama mboni ya jicho,
Unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako;
Nami nikutazame uso wako katika haki,
Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa