Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 22 Mwaka C
Ee Mungu Ee Mungu, Kwa wema wako uliwahifadhi walioonewa, uliwahifadhi walioonewa x2.
1. Wenye haki watafurahi, Na kuushangilia uso wa Mungu; Naam, watapiga kelele kwa furaha. Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake, Furahini katika Bwana, shangilieni mbele zake.
2. Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Mungu katika kao lake takatifu. Mungu huwakalisha wapweke nyumbani, Huwatoa wafungwa wakae hali ya kufanikiwa.
3. Ee Mungu, ulinyesha mvua ya neema, Urithi wako ulipochoka uliutia nguvu. Kabila lako lilifanya kao lake huko; Ee Mungu, Kwa wema wako uliwahifadhi walioonewa.