Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Utatu Mtakatifu | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 19 Mwaka C
- Katikati Utatu Mtakatifu Mwaka B
Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao (ambalo), ambalo Bwana ni Mungu wao x2.
1.Kwa kuwa neno la Bwana ni la adili, na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu, Bwana huzipenda haki na hukumu, nchi imejaa fadhili za Bwana.
2.Kwa neno la Bwana, Mbingu zilifanyika, na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake, maana yeye alisema ikawa na yeye aliamuru ikasimama.
3. Tazama jicho la Bwana li kwao wamchao, wazingojeao fadhili zake, yeye huwaponya nafsi zao na mauti, na kuwahuisha wakati wa njaa.
4. Nafsi zetu, zinamngoja Bwana, yeye ndiye msaada wety na ngao yetu, Ee Bwana fadhili zako zikae nasi, kama vile tulivyokungoja wewe.