Ingia / Jisajili

Kinywa changu kitasimulia haki

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 1,443 | Umetazamwa mara 3,900

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

               Ki-nywa cha-ngu, kitasimulia haki (haki) kitasimulia haki na wokovu wako X2

1. Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike, nisiaibike milele.

2. Kwa haki yakouniponye uniokoe, unitegee sikio lako, u-niokoe.

3. Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, wa makazi yangu, nitakakokwenda siku zo-te.

4. Umeamuru niokolewe, ndiwe genge langu na ngome yangu, Ee Mungu wangu, uniopoe mkononi mwa mkorofi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa