Ingia / Jisajili

Kwa Bwana kuna Fadhili

Mtunzi: Sebastian Don Ndibalema
> Mfahamu Zaidi Sebastian Don Ndibalema
> Tazama Nyimbo nyingine za Sebastian Don Ndibalema

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Sebastian Ndibalema

Umepakuliwa mara 757 | Umetazamwa mara 1,968

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kwa Bwana kuna fadhili, Kwa Bwana kuna fadhi-li

Na kwake kuna ukombozi mwingi                                          x 2

 

1.      Ee Bwana toka vilindini nimekulili - a Bwana usikie sauti yangu uisikilize

     Masi - ki - o - yako na yasikili - ze yaisikilize - sa - uti ya - dua zangu

 

2.    Bwana - kama wewe unge - hesabu mao - vu E e Bwana nani angesimama a - ngesimama

Lakini kwa - ko - kuna msama - - - ha ili Bwana wewe - uogopwe uogo - - pwe

 

3.    Nimemngoja Bwana roho yangu imemngoja na neno lake nalitumaini nalitumaini

Nafsi yangu inamngoja Bwa - - - - - na kuliko walinzi waingojavyo asubu - - hi

 

4.    Maa - na kwa Bwana kuna fa - dhi - - - li na - kwa - ke kuna ukombozi mwi - - - - ngi   

     Yeye atamko - mboa Israe - - - li atamkomboa - na maovu yake yo - - te


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa