Ingia / Jisajili

Mungu wangu mbona umeniacha

Mtunzi: Sebastian Don Ndibalema
> Mfahamu Zaidi Sebastian Don Ndibalema
> Tazama Nyimbo nyingine za Sebastian Don Ndibalema

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Kwaresma | Matawi

Umepakiwa na: Sebastian Ndibalema

Umepakuliwa mara 780 | Umetazamwa mara 2,401

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha, Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha x 2

1. Wote wanionao hunicheka sana, hunifyonya wakitikisa vichwa vyao/

Husema: Umtegemee Bwana na amponye, na amwokoe sasa maana apendezwa naye

2. Kwa maana mbwa wamenizunguka, kusanyiko la walevi wamenisonga/

Yamenizua mikono na miguu, naweza kuihesabu mifupa yangu yote

3. Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura/

Nawe Bwana usiwe mbali, Ee Mungu wangu fanya haraka kunisaidia

4. Nitalihubiri Jina lako kwa ndugu zangu, katikati ya kusanyiko nitakusifu/

Ninyi mnaomcha Bwana msifuni, Enyi wote mlio mzao wa Yakobo mtukuzeni


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa