Ingia / Jisajili

Mimi Ndimi Chakula Chenye Uzima

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 20 Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 20 Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 20 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana asema mimi ndimi chakula chenye uzima, kilichoshuka kutoka Mbinguni, mtu akila chakula hiki ataishi milele x2.

1. Bwana asema aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu.

2. Bwana asema mimi ndio mkate wa uzima, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa