Ingia / Jisajili

Msihuzunike

Mtunzi: Bategereza
> Tazama Nyimbo nyingine za Bategereza

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mazishi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 953 | Umetazamwa mara 3,345

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Msihuzunike kama wale wasio na matumaini ya uzima ujao x 2 : Maana twasadiki wale walio lala katika Kristu Yesu Mungu atawaleta pamoja naye x 2.

Mashairi:

1. Tazameni mfano wa mbegu kuzikwa na kisha kuota.

2. Kristu alikufa na kisha akafufuka mfano wa wazi.

3. Amekufa mwili bali roho yake iko kwake Bwana.

4. Siku itafika tutakutana naye uso kwa uso.

5. Farijianeni kwa maneno haya nanyi mtaishi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa