Ingia / Jisajili

NA AHIMIDIWE

Mtunzi: Benjamin J.mwakalukwa
> Mfahamu Zaidi Benjamin J.mwakalukwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Benjamin J.mwakalukwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Benjamin JMwakalukwa

Umepakuliwa mara 678 | Umetazamwa mara 2,382

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

 NA AHIMIDIWE

Na ahimidiwe bwana mwamba wangu anifundishae mikono tangu vita na vidole vyangu kupigana.

1.Ee mungu nitakubia wimbo mpya kwa kinanda cha  nyuzi kumi nitamuimbia.

2.Mhisani wangu boma langu na ngome yangu mwokozi wangu na ngao yangu ninaye mkimbilia.

3.Ee Bwana mtu kitu gani hata u mjue na binadamu ni kitu gani hata umuangalie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa