Ingia / Jisajili

Nami Nimezitumainia Fadhili Zako No 1

Mtunzi: M.p. Makingi
> Mfahamu Zaidi M.p. Makingi
> Tazama Nyimbo nyingine za M.p. Makingi

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Michael Makingi

Umepakuliwa mara 311 | Umetazamwa mara 1,233

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 7 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 7 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 7 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
NAMI NIMEZITUMAINIA FADHILI ZAKO.MOYO WANGU NAUUFURAHIE WOKOVU WAKO. NAAM NIMWIMBIE BWANA .KWA KUWA AMENITENDEA KWA UKARIMU X2 FINE   (1) LAKINI MIMI NA ZITUMAINIA FADHILI  ZAKO.MOYO WANGU  NA UU FURAHIE WOKOVU WAKO .NITAKUIMBIA. WEWE EE MWENYEZI MUNGU.KWA UKARIMU MWINGI ULIO NITENDEA.(3) EE BWANA HATA LINI UTANISAHAU HATA MILELE.HATALINI UTANIFICHA USO WAKO.(4)EE BWANA MUNGU WANGU UANGALIE UNIITIKIE.UYATIE NURU  MACHO YANGU.. NISIJE NIKA LALA USINGIZI WA MAUTI.(5)ADUI YANGU ASIJE AKASEMA NIMEMSHINDA.WATESI WANGU WASIFURAHI NINAPOONDOSHWA.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa