Ingia / Jisajili

Nitaondoka

Mtunzi: Nivard S Mwageni
> Mfahamu Zaidi Nivard S Mwageni
> Tazama Nyimbo nyingine za Nivard S Mwageni

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Nivard Silvester

Umepakuliwa mara 26 | Umetazamwa mara 67

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 24 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Nitaondoka nitakwenda nitakwenda kwa baba yangu x2 1. Ee Mungu unirehemu sawasawa na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa na uovu wangu, na dhambi yangu i mbele yangu daima. 2. Ee Mungu uniumbie moyo safi uifanye upya roho, iliyotulia ndani yangu usinitenge na uso wako, wala roho yako takatifu, roho yako takatifu usiniondolee. 3. Ee Bwana uifumbue midomo yangu, na kinywa changu kitazinena sifa zako. Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika, moyo uliovunjika na kupondeka Ee Mungu, Ee Mungu Ee Mungu hutaudharau

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa