Mtunzi: Alvin Marie
> Mfahamu Zaidi Alvin Marie
> Tazama Nyimbo nyingine za Alvin Marie
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Alvin Marie
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiSitafedheheka na wala sitaaibika, ninajua kwamba Mungu atanipigania x2 Ninatamka kwa ujasiri nikiwa mwingi wa imani; nitaenenda, nitamiliki, nitamaliza kwa ushindi. Ninajua kwamba Mungu atanipigania.x2
1. Sitafedheka mimi machoni pao maadui zangu, bwana Mungu atanilinda, tena ye ataniongoza, nitashinda kwa wepesi, hili ndilo tamko la imani.