Ingia / Jisajili

Tamko La Imani (Sitafedheheka)

Mtunzi: Alvin Marie
> Mfahamu Zaidi Alvin Marie
> Tazama Nyimbo nyingine za Alvin Marie

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Alvin Marie

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Sitafedheheka na wala sitaaibika, ninajua kwamba Mungu atanipigania x2 Ninatamka kwa ujasiri nikiwa mwingi wa imani; nitaenenda, nitamiliki, nitamaliza kwa ushindi. Ninajua kwamba Mungu atanipigania.x2

1. Sitafedheka mimi machoni pao maadui zangu, bwana Mungu atanilinda, tena ye ataniongoza, nitashinda kwa wepesi, hili ndilo tamko la imani.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa