Ingia / Jisajili

Tujongee Kwa Karamu

Mtunzi: Dr Eusebius Jose Mikongoti
> Mfahamu Zaidi Dr Eusebius Jose Mikongoti
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr Eusebius Jose Mikongoti

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Eusebius Joseph Mikongoti

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 12

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

TUJONGEE KWA KARAMU.

Kiitikio:

Tujonged kwa karamu tule mwili tunywe damu yake Bwana, (twendeni) Bwana Yesu atuita kwa karamu x2.

Enyi wenye moyo safi Bwana anatualila kweli ni chakula bora kwetu sisi wasafiri. Tule mwili tunywe damu yake Bwana x2

1) Karamu ya Bwana Yesu tayari imeandaliwa, twende sote tushiriki karamu ya Bwana Yesu, Tule mwili tunywe damu ya Bwana Yesu.

2) Enyi wenye moyo safi tujongee mezani pake, tule mwili wake Yesu chakula cha roho zetu ili tuupate uzima wa milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa