Ingia / Jisajili

Maagizo ya Bwana

Mtunzi: Thomas P. Bingi
> Mfahamu Zaidi Thomas P. Bingi
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas P. Bingi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas Bingi

Umepakuliwa mara 557 | Umetazamwa mara 1,785

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Maagizo ya Bwana ni yaadili hufurahisha moyo.

Mashairi.

1.Sheria ya Bwana ni kamilifu huiburudisha nafsi ushuhuda wwa Bwana ni amini humtia mjinga hekima.

2.Kicho cha Bwana ni kitakatifu kinadumu milele hukumu za bwana ni kweli zina haki haki kabisa.

3. Tena mtumishi wako huonywa kwazo katika kuzishika kuna thawabu nyingi.

4.Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake unitakase na mambo ya siri.

5.Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi yasinitawale  mimi.

6.Ndipo nitakapo kuwa kamili nami nitakuwa safi bila kosa lillilo kubwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa