Ingia / Jisajili

Najisifia Udhaifu Wangu

Mtunzi: Obuya Joseph Ochieng
> Mfahamu Zaidi Obuya Joseph Ochieng
> Tazama Nyimbo nyingine za Obuya Joseph Ochieng

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: OBUYA JOSEPH

Umepakuliwa mara 217 | Umetazamwa mara 1,224

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NAJISIFIA UDHAIFU WANGU

Ninajisifia, U dhaifu wangu, ili uweza wa kristu ukae juu yangu, kwa maana ninapi kuwa dhaifu ndipo lilipo kuwa na nguvu

1. Sina budi kujisifia japo kuwa haipendezi

    Lakini najizuia nisihesabiwe hatia

              ( Bali ninasema Ukweli juu ya maono nilopewa)

2. Sababu ya mafunuo hayo napewa mwiba mwilini

    Nikamsihi Mungu wangu jambo hili liniepuke

              ( Naye akaniiambia, neema yake inatosha)

3. Napendezwa na udhaifu, dharau tabu na mateso

    Nakuya vumilia yoye haya kwa ajili ya kristu

              (Kwani uweza wake Mungu,hutimia kwa udhaifu)


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa