Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka
Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Faustini Mganuka
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKIITIKIO
Naijongea Meza Yako Ee Bwana, ili nishibishwe chakula cha mbinguni x2
Karibu Bwana karibu moyoni mwangu ukae nami uwe nami Milele yote x2
SHAIRI
1. Bwana atualika mezani tukale mwili na damu yake ili tupate uzima wa roho.
2. Bwana asema njoni wenye njaa niwashibishe kwa Mwili wangu ili mpate uzima wa roho.
3. Mwili wa Bwana ni chakula Bora na damu yake kinywa safi , sote tujongee mezani pake.