Ingia / Jisajili

Ni Neno Jema Kumshukuru Bwana

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Shukrani | Zaburi

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 8 | Umetazamwa mara 11

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 8 Mwaka C
- Katikati Dominika ya 11 Mwaka B

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio.

Ni neno jema kushukuru Bwana

 Shairi.

1.Ni neno jema kumshukuru Bwana na kuliimbia jina lako Ee uliye juu, kuzitangaza rehema zako asubuhi na uaminifu wako wakati wa usiku. 2.Mwenye haki atasitawi kama Mtende, atakua kama mwerezi Wa Lebanoni, waliopandwa katika nyumba ya Bwana watasitawi katika nyua zake Mungu wetu. 3.Watazaa matunda hadi wakati wa uzee, watajaa utomvu watakua na ubichi watangaze ya kuwa Bwana ni mwenye adili, mwamba wangu ndani yake hamna udhalimu.

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa