Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka
Makundi Nyimbo: Shukrani | Zaburi
Umepakiwa na: Faustini Mganuka
Umepakuliwa mara 8 | Umetazamwa mara 11
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 8 Mwaka C
- Katikati Dominika ya 11 Mwaka B
Kiitikio.
Ni neno jema kushukuru Bwana
Shairi.
1.Ni neno jema kumshukuru Bwana na kuliimbia jina lako Ee uliye juu, kuzitangaza rehema zako asubuhi na uaminifu wako wakati wa usiku. 2.Mwenye haki atasitawi kama Mtende, atakua kama mwerezi Wa Lebanoni, waliopandwa katika nyumba ya Bwana watasitawi katika nyua zake Mungu wetu. 3.Watazaa matunda hadi wakati wa uzee, watajaa utomvu watakua na ubichi watangaze ya kuwa Bwana ni mwenye adili, mwamba wangu ndani yake hamna udhalimu.