Ingia / Jisajili

Chakula Kutoka Mbinguni

Mtunzi: Obuya Joseph Ochieng
> Mfahamu Zaidi Obuya Joseph Ochieng
> Tazama Nyimbo nyingine za Obuya Joseph Ochieng

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: OBUYA JOSEPH

Umepakuliwa mara 27 | Umetazamwa mara 32

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
CHAKULA TOKA MBINGUNI INTRO: Aulaye mwili wangu na Kuinywa damau yangu , anauzima wa milele asema Bwana. CHORUS: Hiki ni Chakula ( kweli) kutoka Mbinguni (yeye) alaye chackula (hiki) hatakufa x2. Tule mwili wake Kristu tunywe damu yake, tupate uzima wa milele STANZAS: 1a. Tumealikwa kwa karamu yake Bwana, karamu ya upendo wake Bwana Yesu 1b. Ni mwili wake kwa maumbo ya mkate, ni damu yake kwa maumbo ya divai 2a. Moyoni mwetu uingie uitakase, uishibishe nafsi yetu tuwe safi, 2b. Wewe ni Bwana wetu pia Mungu wetu, upendo wako kwetu sisi ni ya kweli 3a. Ee mkate safi wa uzima twakusifu, we wastahili sifa pia na heshima. 3b. We ekaristi ndio fumbo takatifu, ndio chakula bora cha wokovu wetu.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa