Ingia / Jisajili

EE BWANA NITAKUIMBIA ZABURI

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 498 | Umetazamwa mara 2,158

Download Nota
Maneno ya wimbo

                                                            EE BWANA NITAKUIMBIA ZABURI

KIITIKIO:Ee Bwana,Ee  Bwana,  Ee  Bwana,  Ee  Bwana mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.

MASHAIRI

1.Nitakushukuru kwa moyo wangu wote  mbele ya miungu nitakuimbia zaburi,  nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, nitalishukuru jina lako.

2.Nitalishukuru jina lako kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, kwa maana umeikuza ahadi kuliko jina lako lote,  siku ile niliyokuita uliniitikia.

3.Ee Bwana wafalme wote wa dunia watakushukuru watakapoyasikia maneno ya kinywa chako,  naam wataziimba njia za Bwana, kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu.

4.Na mkono wako wa kuume  utaniokoa, Bwana utanitimilizia mambo yangu, Ee Bwana fadhili zako ni za milele uziache uziache uziache kazi za mikono yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa