Ingia / Jisajili

TUJONGEE SOTE MEZANI

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 284 | Umetazamwa mara 1,545

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                                                                TUJONGEE SOTE MEZANI

KIITIKIO:Tujongee tujongee sote mezani pake Bwana tukale chakula,chakula cha uzima x 2.

MASHAIRI:

1(a).Mezani pa Bwana pameandaliwa,chakula bora twendeni tukale.

1(b).Twende tujongee tukale chakula,ili tuurithi uzima wa milele.

2(a).Mwili wake Bwana ni chakula,chakula bora twendeni tukale.

2(b).Damu yake Bwana ni kinywaji,kinywaji safi twendeni tukanywe.

3(a).Bwana asema aulaye mwili wangu,na kuinywa damu yangu anao uzima.

3(bTwendeni sote tukashiriki,ili tupate uzima wa milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa