Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uniokoe No.2

Mtunzi: Alex Rwelamira
> Mfahamu Zaidi Alex Rwelamira
> Tazama Nyimbo nyingine za Alex Rwelamira

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Alex Rwelamira

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Mungu Ee Mungu Ee Mungu uniokoe Ee Bwana Ee Bwana unisaidie hima X2

Ndiwe msaada wangu ndiwe msaada wangu na Mwokozi wangu Ee Bwana usikawie X2

1. Waaibike wafedheheke wanaoitafuta nafsi yangu warudishwe nyuma watahayarishwe wapendezwao na shari yangu

2. Washangilie wakufurahie wote wakutafutao waupendao wokovu wako waseme daima atukuzwe Mungu

3. Nami ni maskini ni maskini na mhitaji mhitaji Ee Mungu Ee Mungu unijilie unijilie kwa haraka


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa