Ingia / Jisajili

Leo Mmeungana

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Ndoa

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 7

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitio.

Kwa furaka na shangwe mbele za Bwana siku ya eo mmeungana mmekuwa mwili mmoja twaombea kwa Mungu ndoa yenu idumu milele. X2

Ni shangwe shangwe ni shangwe Leo ni shangwe njoni wote tuwashangilie

SHAIRI

1. Upendo utawale kati yenu, huzuni na furaha muwe wote, kwa neema zake Mungu mtaishinda vikwazo na shida zote za Dunia.

2. Mungu awajalie afya njema awalinde dhidi ya magonjwa awabariki katika ndoa yenu ili iwe ndoa ya kumpendeza Mungu.

3. Msikate tamaha kamwe, mkikumbana na dhoruba Yesu awe nahodha wenu, ndoa yenu kamwe isiteteleke



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa