Ingia / Jisajili

Msifuni Bwana

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 673 | Umetazamwa mara 2,595

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

MSIFUNI BWANA

Aleluya aleluya aleluya aleluya msifuni Bwana x2

huwaponya waliopondeka huwaponya waliopondeka moyo x2

1. (a) Ma a  na  ni   vema, kumwimbia Mu ngu  wetu

     (b)  Ma'   na kwa pende  za, ku      si funi  ku zuri.

 2.(a) Bwanandiye ajengaye, a je nga ye Yerusalemu

    (b) Huwa   ku  sa nya     wo  te, walio tawanyika

3.(a) Bwa -   na  ni  m       ku   u, na ni mwingi wa - ngu vu

    (b) A - kili -  zake,  hazina -   mi pa ka



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa