Ingia / Jisajili

Nasema Asante

Mtunzi: Erick Mwaniki
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Mwaniki

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 115 | Umetazamwa mara 442

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
NASEMA ASANTE 1. Ukaniumbakwasura,namfanowakokanijalianeema,hapaduniani asantenakushukuruMunguwangunatoashukranizangukwakoMungunakujakusemakwakoasante Nasemaasantesana,kutokamoyonimwangu,kwayoteunayotenda,kwangu mi,ninashukuru, katikahalizotemimi,shukranizanguninatoa,ee Bwananauzipokee,naomba Bwana nibariki, Naimbatenanacheza,ninayofuraha tele,kwakweli,ninenojema,kwangu mi,kukushukuru,ukuu, wakonauona,kilanikikutafakari,ee Bwana,zidikunilinda, uniongozesikuzote, 2. Ukanipaafyanjema,familianjema,chakula pia kanipa, sikuzanguzote nimefanikiwamiminamipangoyanguyotekatimiajuuyakohivyoninakushukuruasante 3. Uzitowamsalaba,kanipumzisha,imaniyanguee Bwana,kaniongezea, kaandaakaramuyonikupokeeumeungananamimimwilirohondaniyanguunaishiasante

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa