Ingia / Jisajili

Ninakushukuru Bwana

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 516 | Umetazamwa mara 2,145

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

             Ninakushukuru Bwana kwa wema wako, umenilinda wiki nzima X2

            Umenipa pumzi, nina afya njema, kazi zangu nafanikiwa, nakushukuru Mu-ngu wangu X2

1. Hiki nilichoandaa japo ni kidogo, ni kazi ya mikono yangu ukipokee.

2. Bwana uyabariki matoleo yetu, yote haya ni mali yako Mu-ngu wetu.

3. Mungu zibariki kazi za mikono yetu, tubariki sisi wana wako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa