Ingia / Jisajili

Njoo kwangu Yesu

Mtunzi: Joseph Nyarobi
> Mfahamu Zaidi Joseph Nyarobi
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Nyarobi

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Joseph Nyarobi

Umepakuliwa mara 293 | Umetazamwa mara 1,654

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

/Njoo kwangu Yesu, unipe uzima, nilishe uninyweshe mwili na damu yako

Yesu njoo kaa nami nipate uzima, unipe uzima uzima wa milele\ X2

BETI

1. Heri wenye huzuni, hao watafarijika, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watashibishwa

2. Heri wenye rehema maana watapata rehema, heri wenye moyo wenye moyo safii, maana hao watamwona Mungu

3. Mimi ndimi mkate mkate wa uzima, yeye ajaye kwangu hataona njaa ,naye aniaminiye hataona kiu kamwe.

4. Mimi ndimi mchungaji ,mchungaji mwema, nawajua kondoo kondoo wangu, nao wanijua wanijua mimi


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa