Ingia / Jisajili

MKAIJENGE NYUMBA YANGU

Mtunzi: Joseph Nyarobi
> Mfahamu Zaidi Joseph Nyarobi
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Nyarobi

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Joseph Nyarobi

Umepakuliwa mara 509 | Umetazamwa mara 2,230

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

\\Zitafakarini njia zenu anasema Bwana, asema Bwana wa majeshi, nasi waamini tusikie neno lake.                         Bwana wa majeshi atuita tuijenge nyumba, hekalu lake takatifu, njoni waamini sikieni neno lake

Pandeni milimani mkalete miti, mkaijenge nyumba yangu nami nitafurai                                                                          pandeni milimani mkalete miti, mkaijenge nyumba yangu nami nitatukuzwa//       

1. mwaiona nyumba yangu haijakamilika, nijengeeni nyumba yangu nitawabariki

2. mtoavyo kwenye sherehe nitoleeni vivyohivyo, nami nitawatendeeni matendo mkakuu

3. jitolee mali zako jitolee nguvu zako, mifugo nayo mazao mimi nitapokea                                        


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa