Ingia / Jisajili

Nitakaa Nyumbani

Mtunzi: Fred B. Kituyi
> Tazama Nyimbo nyingine za Fred B. Kituyi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: FRED KITUYI

Umepakuliwa mara 481 | Umetazamwa mara 1,215

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
NITAKAA NYUMBANI Kiitikio: Nami nitakaa nyumbani, nitakaa nyumbani, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele. x2 1. Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu; (Katika malisho majani mabichi, hunilaza. x2) 2. Kando kando ya maji matulivu ananiongoza Bwana; (Katika njia haki ananiongoza, Bwana wangu. x2) 3. Nipitapo Katika mabonde ya uvuli was mauti; (Siwezi kuogopa mabaya maana, yupo nami. x2) 4. Gongo lako nayo fimbo yako vinanifariji Ee Bwana; (Umeniandalia maza machoni, pa watesi. x2) 5. Umepaka kichwa changu kweli mafuta umenipaka; (Kikombe kimejaa na kimefurika, wema wako. x2)

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa