Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Faustini Mganuka
Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKIITIKIO.
Onjeni Muone yakuwa Bwana Yu Mwema.
SHAIRI
1. Nitamuhimidi Bwana Kila wakati sifa zake zikinywani mwangu daima, katika Bwana nafsi yangu itajisifu wanyenyevu wakasikie wakafurahi.
2. Mtukuzeni Pamoja nami tuliadhimishe jina lake pamoja, nalimtafuta Bwana akanijibu akaniponya na hofu zangu zote.
3. Wakamwelekea Bwana wakati wa nuru Wala nyuso zao hazitaona haya, maskini huyu aliita Bwana akasikia akamponya na taabu zake zote