Ingia / Jisajili

Unifiche Ee Bwana

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO.

Unifiche We Bwana chini ya uvuli wa mbawa zako unihifadhi kwako niweze kuwa salama.

Nakabidhi maisha yangu mikono mwako wewe ni ngome imara ngome yangu ya ushindi

SHAIRI.

1. Katika dhoruba ya maisha uniongoze unihifadhi Bwana nisiabike Ee Bwana Ee Bwana unihifadhi Mimi

2. Machozi yangu yageuke kuwa ni wimbo washukrani mbele ya kiti chako cha enzi niimbe niimbe nyimbonza shukrani.

3. Moto wa upende Bwana uwake ndani yangu ili nikuabudu kwa moyo mnyofu nisifu nisifu jina lako milele



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa