Maneno ya wimbo
                SHAMA LA MIZABIBU NDILO .NYU- MBA NDILO NYU-MBA YAISRAELI X2.SHAMBA MI ZA-BIBU NDILO  NYU-MBA NDILO NYUMBA NDILO YUMBA YAISRAELI X2 Fine (1)Ulileta mzabibu kutoka misri.ukawafukuza mataifa ukaupanda naouliya eneza matawi yake hata baharini.navichipukizi vyake hata kunako-mto.(2)Kwa- nini umezibomoa kutazake , wakau chuma wore wapitao njiani.nguruwe wa msituni wanauharibu. Nahayawani wakondeni wanautafuna.(3).EE mungu was majeji tunakusihi urudi utazame toka juu uone.uujilie, mzabibu huu na mcheule ulio upanda kwa .mkono wakuume.(4).Basi hatutakuacha kuacha kwa kurudi nyuma.utuhuishe-nasi nasitutaliitia  jina lakoEe-Bwana mungu wamajeshi.uturudishe uangazishe uangazishe uso waki nasitutaliitia okoka.
            
                                    
                Nyimbo nyingine za mtunzi huyu