Ingia / Jisajili

ULIMI WANGU UGANDAMANE

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 1,462 | Umetazamwa mara 3,943

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                 Ulimi wangu na ugandamane na kaakaa la kinywa changu (mimi) nisipoku-mbuka X2

01. Kando ya mito ya Babeli, ndiko tulikoke-ti, tukalia tulipoikumbuka Sayuni, katika mi-ti iliyo kati yake tulivitundika vinubi vyetu.

02. Maana huko waliotuchukua, wal'otuchukua mateka, wa-lita-ka tuwaimbi-e, na waliotuonea walitaka furaha, tuimbeni nyimbo za Sa-yuni.

03. Tu-uimbe-je wimbo, tuuimbeje wimbo wa Bwana, ka-tika katika nchi ya wa-geni, Yerusalemu nikikusahau wewe, mkono wangu na usahau.

04. Nisipoikuza Yerusalemu, zaidi ya furaha yangu iliyo kuu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa