Ingia / Jisajili

Unono Wa Ngano

Mtunzi: Bernard Mukasa
> Mfahamu Zaidi Bernard Mukasa
> Tazama Nyimbo nyingine za Bernard Mukasa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Bernard Mukasa

Umepakuliwa mara 6,603 | Umetazamwa mara 13,651

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1.       Na mimi ndimi Bwana Mungu wako niliyekupandisha toka Misri. Fumbua kinywa chako nikujaze nikujaze nimewalisha

KIITIKIO

Unono wa ngano asali itokayo mwambani x2

2.       Nimelitenganisha bega lake nimelitenganisha na mzigo na mikono yake ikaachana na kikapu nimewalisha

3.       Katika shida zako uliniita uliniita nikakuokoa nilikuitikia sitarani nikakujaribu nimewalisha

4.       Pazeni sauti pigeni matari kinubi chenye sauti nzuri na kinanda pigeni panda mwandamo wa mwezi sikukuu nimewalisha


Maoni - Toa Maoni

Scalius Nzaro Dec 02, 2018
pongezi kwako mkuu kwa wimbo bora

FLORENCE DOMICIAN Aug 22, 2018
Pongeza,

Toa Maoni yako hapa