Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Faustini Mganuka
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKiitio.
Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele kwa furaha.
1. Bwana alipowarejeza mateka wa sayuni tulikuwa kama waotao ndoto ndipo kinywa chetu kilopojaa kicheko na ulimi wetu kelele za furaha.
2.Ndipo waliposema katika mataifa kwamba Bwana amewatendea makuu tulikuwa tukifurahi