Ingia / Jisajili

Ee Yesu Wa Ekaristia

Mtunzi: Emmanuel Daniel Mutura
> Tazama Nyimbo nyingine za Emmanuel Daniel Mutura

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Emmanuel Daniel Mutura

Umepakuliwa mara 656 | Umetazamwa mara 2,075

Download Nota
Maneno ya wimbo

EE YESU WA EKARISTIA [E.D.MUTURA]

Ee Yesu wa Ekaristia ninakuabudu x2 Umejificha katika maumbo, maumbo ya Mkate na Divai, Ee Yesu wa ekaristia ninakuabudu x2

1. Kwa upendo wako na huruma yako kwetu sisi; umebaki nasi kwa njia ya maumbo ya mkate na divai.

2. Hapo upo mzima Mungu kweli na mtu kweli; watutia nguvu rohoni mwetu nasi tunakuabudu.

3. Tunakuamini na kukuungama; japo hatukuoni kwa macho yetu ila imani yakuona.

4. Mimi nakuamini kwa nguvu zako; unanitakasa Ee Yesu wangu mpenzi wa roho yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa